Sunday, October 28, 2012

CCM YASHINDA VITI VYA UDIWANI MKOANI RUVUMA,CCM CHADEMA WAKATANA MAPANGA

 Mmoja wa Majeruhi wa majeruhi wa vurugu zilizotokea  oktoba 27m Bw.  Mashaka Mbawala wakati wa kampeni za lala salama  na uchaguzi ulifanyika oktoba 28 mwaka huu.ccm  imerejesha viti vyote viwili.
Mashaka akitafakari jambo na kueleza kuwa wamekuwa wakitumika kwa maslahi ya watu hivyo hataendelea tena kutumika kisiasa kutokana na kipigo alichokipata

No comments:

Post a Comment