Monday, November 12, 2012

SAFARI NGUMU KUTOKA DODOMA KUPITIA MTERA KUELEKEA IRINGA

 Hapa n  barabara imefungwa katika daraja la Konze Mkoani Dodoma ambapo gari letu lilikwama wakati tukijaribu kupita pembeni.
 Hapa ni Mtera na huu ni moja ya Mkahawa wa hapo Mtera.
 Ni Mtera kabla ya kuanza kuendelea na safari kuelekea Iringa.
 Huyu ni Dereva wetu Bw. Mtutuma ambaye alijitahidi kuendesha gari kwa umakini mkubwa katika barabara hiyo na hatimaye tulifika salama Iringa.
 Nikiwa Mtera
 Safari ngumu kutoka Mtera kuelekea Iringa hapa tunapishana na Scania,pembezoni ni kingo za barabara.
 Katika maeneo mengine tulishuka kushangaa uumbaji wa Mungu,ilikuwa ni kama utalii vile,wa kwanza kulshoto ni  Mkaguzi wa Shule za msingi Songea vijijini Mr Lima ,wa pili ni Afisa Utamaduni Wilaya ya Namtumbo Bw. Komba Kachulichi  na huyu mwenye kofia ni Afisa maliasili Songea vijijini Bi. Evelyn Moshi ni Mwanamke pekee tuliyekuwa naye katika safari hiyo.
 Hapa  tukiwa tunataniana.Hapa nawatumia ujumbe ndugu na jamaa kuwaeleza mazingira ya safari.
 Bado utko maeneo hayo tukishangaa uumbaji wa Mungu
 Nikiwa nimepozi na Bw. Komba (kushoto) na Bw. Mtutuma dereva wetu
Tupo pamoja

No comments:

Post a Comment