Monday, July 30, 2012

JUBILEI PACHA YA MIAKA 25 YA JIMBO LA MBINGA KANISA KATOLIKIGA NA

 Mkapa akifukiziwa uvumba pamoja na Viongozi wengine wa Mkoa wa Ruvuma kwenye Kanisa la Mtakatifu Kilian Mbinga Mkoani Ruvuma kwenye jubilei ya miaka 25 ya Jimbo la Mbinga na miaka 25 ya utumishi wa Askofu msfaafu wa Jimbo hilo Mhashamu Emannuel Mapunda.
 Baaadhi ya Maaskofu wakiongozwa na Askofu Mku wa Jimbola Songea Askofu Mkuu Norbert Mtega wa (pili kulia) wakiwa kwenye Sala katika jubilei hiyo
 Balozi wa Papa hapa Nchini naye alikuwepo,hapa anatoa Neno.
 Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Bw. Benjamin Mkapa akiwa na Mkewe Anna Mkapa wakifuatilia kwa makini mafundisho Kanisani hapo.
 Rais Mstaafu Mkapa ambaye pia alikuwa mgeni Rasmi akizungumza Kanisani hapo ambapo aliwataka wananchi kutumia haki yao ya kimsingi kujitokeza kutoa maoni yao kwenye mikutano ya kukusanya maoni8 ya kupatikana kwa Katiba mpya,.
Hapa anahutubia.

No comments:

Post a Comment