Friday, July 20, 2012

KUTANA NA BINGWA WA KUCHEKA TANZANIA

 Hapa anatafakri jambo  ni namna gani atapata Mtu wa kushindana nae,maana wengi wanamkimbia hata Masudi Sura mbaya alimkimbia kwenye shindano la kumtafuta mwenye sura mbaya Tanzania.
Huyu ni Msanii Bingwa wa kucheka Tanzani na duniani kwa ujumla ambapo ana uwezo wa kucheka kwa dakika 18 bila kupumzika hapa alikuwa akipafomu kabla Waziri Mkuu Mizengo Pinda hajapand jukwaani kuhutubia Wananchi Mkoani ruvuma hivi Karibuni.


No comments:

Post a Comment