Sunday, July 8, 2012

PAMBANO LA WEMA SEPETU NA JACKLINE WOLPER

Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo
WEMA NA WOLPERwakipozi kwa picha

Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa
Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpsambano wao

Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio

No comments:

Post a Comment