Friday, September 21, 2012

DC SONGEA ATEMBELEA WAFANYABIASHARA WA MITUMBA MAJENGO

 Mkuu wa Wilaya ya Songea Bw. Joseph Mkirikiti akizungumza na mmoja wa Wafanyabiashara wa mitumba  katika Vibanda vya majengo ambako wafanyabiashara hao wamehamishiwa.
Hapa akikagua moja ya vibanda hivyo.Wafanyabiashara wanaofanya biashara za mitumba katikati ya Mji wa Songea wamehamishiwa Majengo.

No comments:

Post a Comment