Thursday, September 13, 2012

SERIKALI YATAKIWA KUBORESHA HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA MISHENI PERAMIHO

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Misheni  Peramiho Dkt Ansigar Stuffe

Na Joseph Mwambije
Peramiho
MKURUGENZI  Mkuu wa Hospitali ya Misheni peramiho  Mkoani Ruvuma  Dkt Ansigar Stufe ameiomba Serikali kuipasisha  Hospitali hiyo kuwa ya rufaa  kivitendo kwa kuboresha na kuongeza majengo na  Wafanyakazi ikiwemo  kuwalipa mishahara tofauti na ilivyo sasa inaitwa Hospitali ya rufaa kwa maneno tu.

No comments:

Post a Comment