Friday, October 26, 2012

AJALI IMETOKEA MAENEO YA BOMBAMBILI NA KUSABABISHA KUPASUKA USONI KWA DEREVA PIKIPIKI

Gari lililogongwa
Ajali hii imetokea maaneo ya white house jirani na ofisi za Tbc songea majira ya saa 5:20 jioni ,
Ajal hii imehusisha dereva pikipiki (yeboyebo) na gari aina ya Vitara iliyokuwa ikitokea msamala ikielekea mjini.
Chanza cha hajali hiyo kwa mashuhuda walioiona wamedai dereva wa gari aina ya vitara alisimama gafla kwenye matuta badala ya kupunguza mwendo.
Ndipo kijana huyo ambaye ni dereva pikipiki(yeboyebo) alipomva na kumgonga kwa nyuma na kuchanika usoni, Kijana huyo amepelekwa hospital ya mkoa wa Ruvuma kupata matibabau.
Pia wamesema dereva wa Gali hilo ambaye akufahamika jina kwa haraka alikuwa akiendesha gari huku amelewa ,
Aidha wamelaana juu ya hawa madereva wanaoendesha magari wakiwa wamelewa kwani wanasababisha ajari nyingi barabarani pia wanaiomba serikali kuchukua mkondo wake kwa hawa madereva wanaoendesha huku wamelewa.
Ilikupunguza ajali nyingi barabarani pia nakuwataka hawa madereva wa pikipiki(Yeboyebo) kuendesha kwa umakini wawapo barabarani kwani wamekuwa wakiendesha kwa kutofata sheria za barabarani.
Huyu mzee alievaa shati la mistari ndie mwenye gari
  Askari wa Barabarani wakiwa eneo la tukio
Mashuhuda wakiangalia ajali

madereva pikipiki(yeboyebo) wakitoa ushirikiano kwa Askari wa barabarani
 
     CHANZO-de masho.blogspot.com

No comments:

Post a Comment