Wednesday, October 31, 2012

HATUWEZI KUWA NA KATIBA BORA BILA KUWA NA MISINGI BORA YA KATIBA

  nilikuwa miongoni mwa Waandishi wanaonolewa kuhusiana na kujenga uwezo wa kuandika habari za mchakato wa kupata katiba mpya.hapa ni nje ya Hoteli ya Dodoma Hoteli yakofanyika mafunzo hayo ya siku mbili.
 Bw. Israeli Ilunde wa Asasi ya YPC akitoa Mada ya Ushawishi na utetezi katika mchakato wa kutengeneza Katiba mpya Tanzania
 Profesa Abdul Sharif wa Baraza la Katiba Zanzibar akitoa Mada kuhusiana na Mchakato wa Katiba  mpya  na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
 Hapa anasema Wananchi hawakushirikishwa katika Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kwamba katika mchakato wa kupata Katiba mpya makosa yasijirudie bali wanapaswa kushirikishwa.kulia ni Bw. Deus Kibamba Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba.
 Wanahabari wakifuatilia mada kwa umakini kubwa
Profesa Sharif akichambua mada.Anasema hatuwezi kuwa Katiba bora bila kuwa na misingi bora ya  Katiba

No comments:

Post a Comment