Tuesday, October 30, 2012

WAANDISHI WA HABA RI KUTOKA MIKOA MBALIMBALI NCHINI WAPATIWA MAFUNZO YA KUJENGEWA UWEZO WA KUANDIKA HABARI KUHUSIANA NA MCHAKATO WA KATIBA MPYA

 Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Bw. Deus Kibanmba akitoa Mada ya Katiba mpya-Tulipotoka,Tulipo na Tuendako kwa Waandishi wa habari katika Ukumbi wa Hoteli ya Dodoa Hotel.Picha chini zinaonyesha matukio mbalimbali kwenye mafunzo hayo
 Deus kibamba akionyesha Katiba ya sasa inayotakiwa kufanyiwa mabadiliko
 Akionyesha utata kwenye Katiba ya sasa

 Wanahabari wakinukuu ili wasipitwe na kitu kwa ajili ya kujikumbusha
 Wakifuatilia kwa makini
 Akionyesha kitu kuhusiana na Katiba

Wanahabari wakifuatilia kwa makini.

No comments:

Post a Comment