Monday, December 24, 2012

SONGEA MUNICIPAL COUNCIL SACCO'S,MKUTANO MKUU WA CHAMA WA 20..


Mkutano Mkuu wa 20 wa Mwaka wa Chama cha Ushirika wa Akiba na mikopo cha watumishi wa Manispaa ya Songea uliofanyika tarehe 22/12/2012 katika Ukumbi wa Songea Club.Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa Ruvuma Thabit Mwambungu.
Maandamano yalianzia katika ofisi za Manispaa na kuelekea katika Ukumbi wa Songea Club. 
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu na Viongozi wenzake wakijiandaa kupokea maandamano.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu na Mwenyekiti wa SACCO'S Mpange Skai wakiimba wimbo wa Taifa.
Ukafuatia wimbo maalumu wa Sacco's.
Mwenyekiti wa SACCO'S Mpange Skai akisoma risala ya Ufunguzi.
Meya wa Manispaa ya Songea Mhe Charles Mhagama akimkaribisha mgeni rasmi.
Zawadi za wanachama waliofanya vizuri zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu.
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu akifungua Mkutano.
Wanachama wakisikiliza kwa makini.
Meneja wa Sacco's Francis Talewa.
Makamu Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Athumani Luambano.
Mwenyekiti Mpange Skai ikitafakali jambo.
Mwenyekiti wa mikopo ndugu Gideon Masumbuko.
Waliogembea nafasi mbalimbali za Uongozi wa Chama.
Waliongombea  nafasi za kamati ya usimamizi.
Wasimamizi wakihesabu kura.
Walioshida nafasi za  Ujumbe wa Bodi Michaela Mhagama na Peter Mapunda.
Christina Ndimbo.
John Nchimbi.
Mwenyeki Mpangi Skai aliweza kutetea tena nafasi yake.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkilikiti akiwasisitiza wanachama kulipa mikopo kwa wakati.
Dr Daniel Mtamakaya.
Ukafika wakati wa kupiga picha ya pamoja.
CHAMA CHA AKIBA NA MIKOPO CHA WATUMISHI WA MANISPAA YA SONGEA KINA KISIA KUKUSANYA JUMLA YA TSH 600,000,000/= TOKA KATIKA VYANZO VYAKE VYA NDANI.






No comments:

Post a Comment