Tuesday, July 17, 2012

WATATU RUVUMA WANUSURIKA AJALINI BAADA YA GARI KUTUMBUKIA MTONI

 Wananchi wakishaa gari iliyoacha njia na kutumbukia katika mto Matarawe.Ktk ajali hiyo watu watatu walijeruhiwa na hakuna aliyepoteza maisha.
 Gari hiyo ya mizigo ilikuwa imebeba mahindi na kufuatia ajali hiyo wananchi wameomba daraja la Matarawe lipanuliwe ili kuwanusuru na ajali za mara kwa mara zinazotokea katika daraja hilo
 Gari hilo liligonga kingo za daraja na kuingia nazo mtoni.
 Wananchi bado hawaamini kilichotokea kwamba abiria wamenusurika kutokana na ajali yenyewe ilivyokuwa
Hapa wakiwa wamekaribia kabisa gari wakishangaa.

No comments:

Post a Comment