Saturday, August 25, 2012

WAKULIMA WAWEZESHAJI NJOMBE NA RUVUMA WAPATIWA MAFUNZO YA KILIMO BIASHARA

 Wakulima wakiwa kwenye mafunzo hayo yaliyoandaliwa na MVIWATA na kudhaminiwa na Shirika la chakula duniani(FAO).Jumla ya Wakulima 50 wa Mikoa ya Njombe na Ruvuma wamenufaika na mafunzo hayo yanayotolewa kwa awamu ya nne na kufanya jumla ya wakulima 200 kunufaika na mafunzo hayo.
 Mwezeshaji wa mafunzo hayo Bi. Silla Richard akiwaeleza wakulima namna ya kufanya kilimo biashara.Baada ya kuhitimu mafunzo hayo wakulima hao wanatakiwa kwenda kuwafundisha wakulima wenzao namna ya kufanya kilimo biashara.
 Afisa  akiba na mikopo wa Mtandao wa Vikundii vya  vya  wakulima Tanzania(MVIWATA) Bw. Julius Mahula akifundisha kwenye mafunzo hayo.
 Baadhi ya Wawezeshaji wakifuatila mambo kwenye mafunzo hayo ya siku tatu.Wa pili kulia ni Mratibu wa MVIWATA Mkoa wa Ruvuma Bw. Ladslaus Bigambo
 Bw. Mahula akisisitiza jambo
 Bi. Silla akifundisha kwa kutumia picha
 Akizungumza na wakulima hao namna ya kukifanya kilimo kuwa cha manufaa.
 Mkulima kutoka Kijiji cha Kitanda Namtumbo Bw. Joseph Kilowoko akisisitiza hoja kwa wenzake. 
Profesa Neka akiwachangamsha wenzake kwenye mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment