Tuesday, September 11, 2012

WANAHABARI RUVUMA KATIKA MKUTANO NA VIONGOZI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

 Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akizungumza  na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Seedfarm Villa Mjini Songea kuhusu mikutano ya Tume hiyo katika Mkoa wa Ruvuma huku akiwataka wanawake kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano kutoa maoni yao kwa kuwa wanaohudhuria ni wachache ukilinganisha na wanaume.
 Hapa akiwa na Mwenyekiti wa Kundi la 5  Profesa Mwesiga Beregu  wakiwasikiliza wanahabari
 Baadhi ya wanahabari wakisikiliza.
 Geofrey Nilahi wa Radio Maria  akizungumza kwenye mkutano huo.
 Alpius Mchucha akizungumza kuhusu ushiriki wa wanafunzi wa wa Shule za msingi kwenye mikutano hiyo.
 Nathan Mtega wa Gazeti la Nipashe akizungumza kwenye Mkutano huo.
 Andrew Chatwanga-Katibu wa Chama cha Waaandishi wa habari Mkoa wa Ruvuma akizungumza kwenye mkutano huo.kushoto ni Joyce Joliga wa gazeti la Mwananchi  songea.
 Mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya Katiba A-Shaymaa Kwegyir akiwa kwenye mkutano huo.
 Mkuu wa Wilaya ya Songea Bw. Joseph Joseph Mkilikiti(kushoto) pamoja na mjuumbe wa tume hiyo toka Zanzibar Bw. Ally Sale

Wanahabari wakifuatila kwa makini ktk mkutano huo.

No comments:

Post a Comment